Jumatatu, 27 Januari 2014

HABARI MPASUKO; BASI LA ABIRIA LA MTEI LACHOMWA MOTO BAADA YA KUGONGA BODABODA NA KUUA WATU (3)

Leo asubuhi basi la abiria  la kampuni ya Mtei toka Arusha limechomwa moto na wananchi wenye hasira maeneo ya Njia panda Mnadani, mkoani Singida baada ya bus hilo kugonga pikipiki yaani bodaboda na kuua watu watatu hapo hapo. Zifuatazo ni taswira za basi hilo lililokuwa wakati na baada ya kuchomwa moto

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

AMTOROKA MME WAKE NA KUKIMBILIA KUSIKOJULIKANA

AMTOROKA MME WAKE NA KUKIMBILIA KUSIKOJULIKANA                  ...